Vituo vya daladala vyenye majina ya ajabu

Vituo vya daladala vyenye majina ya ajabu

Econometrician

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
17,530
Reaction score
32,735
Wadau,habari zenu nijuavyo haya majina ya vituo vya daladala yalikuwa yanawakilisha asili ya kitu,eneo,mtu au mazingira fulani.ila majina ya vi2o vya tandale na sinza huwa vinanifurahisha sana utasikia kwa bibi nyau,kwa tumbo,popobawa! Na mengine ya kufanana nayo.
Tupia majina ya vituo vyenye majina ya ajabu kama haya!.nawasilisha
 
Hv hiki k2o cha popobawa ina manisha kulikuwa na popobawa ama?
 
Wadau,habari zenu nijuavyo haya majina ya vituo vya daladala yalikuwa yanawakilisha asili ya kitu,eneo,mtu au mazingira fulani.ila majina ya vi2o vya tandale na sinza huwa vinanifurahisha sana utasikia kwa bibi nyau,kwa tumbo,popobawa! Na mengine ya kufanana nayo.
Tupia majina ya vituo vyenye majina ya ajabu kama haya!.nawasilisha

hapohapo tandale kile kituo cha makaburini saiv kinaitwa mwisho wa nyodo!
 
Mti mkavu kipo dodoma routee kutoka jamatin kwenda mipango.
 
Ngozi...Nyerere road,Matembele , Kwabiti Kaenga
 
vingine nimevikuta njia ya machimbo kupita tandika kuna mwembe ulevi,kichwa kikubwa na vingine nimeshindwa kuvishika majina
 
vingine nimevikuta njia ya machimbo kupita tandika kuna mwembe ulevi,kichwa kikubwa na vingine nimeshindwa kuvishika majina

hapo mwembe ulevi itakuwa zamani w2 walikuwa wanakaa wakinywa pombe.itakuwa ilikuwa ndo kama baa kwa kpnd hcho
 
yaani kwa tathmini ya haraka njia yetu ya tandale road ndio inaongoza
 
Mangumi,senene,barakuda kwa bibi,mbuyuni hiyo yote ni tabata..manyanya k/ndoni.
 
Arusha Njiro kuna kituo kinaitwa mwisho wa maringo (makaburini)
 
Back
Top Bottom