Vituo 55 zaidi zimeongezwa kinyemela - arumeru

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,277
9,912
Hili la vituo zaidi 55 kuongezwa na tume kinyemela si la kulinyamazia lazima cdm wahakikishe wanalifuatilia kwa karibu kulisemea majukwaani haitoshi.

source. itv
 
Hili la vituo zaidi 55 kuongezwa na tume kinyemela si la kulinyamazia lazima cdm wahakikishe wanalifuatilia kwa karibu kulisemea majukwaani haitoshi.

source. itv
Ccm are crooks!!!
Mkiwaacha Mtashangaa watakachofanya!! Hawana Aibu!! Wezi wa mchana, wahuni wasio na adabu Hawa!!!
 
Kweli wanatakiwa kujiridhisha kabisa inawezekana magamba wameshacheza na daftari kwa msaada wa tume. Mfa maji kweli hakosi kutapatapa.
 
Ccm are crooks!!!
Mkiwaacha Mtashangaa watakachofanya!! Hawana Aibu!! Wezi wa mchana, wahuni wasio na adabu Hawa!!!

Kunamuhimu wa kujua kilakitu kilipo mapaema na na wapigakura wa kila kituo.
 
Kweli wanatakiwa kujiridhisha kabisa inawezekana magamba wameshacheza na daftari kwa msaada wa tume. Mfa maji kweli hakosi kutapatapa.
ccm wamekubali kushindwa,kilichobaki ni kundi la wahuni wanataka kuharibu uchaguzi.kama unabisha muulize sendeka na wazee wenzake.
 
Jaji Lubuva unawajibika kutoa maelezo yasioacha maswali katika akili kwa umma wa Tanzania kuhusu hili la vituo bandia 55 kule Arumeru Mashariki.

This is a very serious allegation leveled against the badly dented electoral body that you are currently leading.
 
Naona kwa hili tume ipelekwe mahakamani kabisa endapo utapatikana ushahidi wa kutosha maana kwenye uraia walifumba macho.
 
Ingelikuwa ni busara pia na ile orodha ya wapiga kura zikabandikwa mapema ili wapiga kura waweze kuelewa na kutambua kama wapo kweli ama la kuliko kusubiri dakika za lala salama na mambo yashaharibika
 
Hili la vituo hewa msifikiri ni utani. katika uchaguzi mkuu 2010 Msimamizi wa uchaguzi - Babati, Manyara (Mkurugenzi wa Wilaya Babati) aliunda vituo hewa viwili na kufuta kituo halali cha katika kata moja inayoitwa Madunga. Wakati wa kesi ( inayoendelea hivi karibuni) alipohojiwa alijifanya bubu.
 
CDM nawaomba msibaki tu katika suala la kupiga kampeni bali mfuatilie sana hilo la vituo hewa maana hilo huwa linafanyika kwa ustadi mkubwa sana.
 
CHADEMA waanze kudai mapema majina yabandikwe kwenye vituo. Hawa NEC wanaweza kurudia mchezo mchafu wa uchaguzi 2010 kwa kubandika majina kwenye vituo tofauti na pale alipojiandikisha mpiga kura. Mtu unafika kwenye kituo chako unakuta jina hakuna na hujui liko wapi.

Majina yabandikwe ili kila mpiga kura ajue moja mapema.
 
Wajipange na wajue mapungu ya wakati uliopita waongeze vijana wa wakwenda kwenyekituo kuimarisha ulinzi.
 
Back
Top Bottom