hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
I mean Platozoom!
Tuwasiliane aisee
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Tuwasiliane aisee
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
kitunguu kinalimwa kwenye tuta kama la nyanya ili kiweze kufyonza maji + kupenya kirahisi, kinahitaji maji mengi ili kiweze kutengeneza tunda kubwa na lenye quality... kikikosa maji ya kutosha kinakufa njiani au kinatoa vitunguu vidogo vidogo kama pipi.
NB: Mara nyingi huwa tunakiweka kwenye kundi la horticulture na hufanywa kwa njia za umwagiliaji at least mara moja kila siku labda kama eneo lako mvua itakuwa inanyesha zaidi ya mara 4 kwa wiki
Haina shida kutumia mpira kwa kuanzia, market change yes lakini huwezi kukosa chochote. Kwa mfano kwenye study ambayo tumefanya ni kwamba wakati mwingine uzalishaji unakuwa mkubwa sana baadhi ya miezi kwa hiyo bei inashuka, nafikiri miezi niliyokuwekea hapo juu itakupa picha. Ni vyema utakapozalisha unaulizia masoko ya Kahama Dar na hata Mwanza ili ikiwezekana upeleke mwenyewe...........usihofu kuna wakulima wakubwa hasa wilaya ya Iramba hawahitaji hata kusafirisha wenyewe .pesa ije yenyewe walipo!
Kuna mwingine naye nimemkuta amechimba kisima kikubwa sana kwa ajili ya pampu na ameanza na eka 60.
Kama huna uzoefu kabisa ni vyema ukaanza na eka 100 nafikiri itakuwa vizuri zaidi. Hakikisha unapata mbegu nzuri (red bombay au planet onions) na mbegu zinapatikana madukani ama kwa wakulima (Iramba kuna wakulima wakubwa wanalima mbegu hasa vijiji vya Mwanga, Msingi n.k) wala usipate shida.
Kwa Dodoma ni pazuri kwa sababu moja kubwa...ukame......vitunguu havitaki maji mengi ingawa ardhi ni vizuri ikawa na rutuba ili kuepuka gharama kubwa za mbolea.
Kama unataka kulima Dodoma kuna maeneo ya Hombolo kuna mabwawa ya maji huitaji kuchimba kisima na sehemu hiyo ni maarufu kwa kilimo cha vitunguuNataka kulima dodoma mkuu nitakuwa nafanya irrigation bado nipo kwenye process za kuchimba kisima so ntakuwa kwa kuanzia ntakuwa namwagilia kwa mipira tu ila project ikisimama ntatumia sprinklers matone nadhani ni very expensive ni project ya 200 acres kuset drip irrigation kwenye 200 acres I can't afford it's too expensive na zao kubwa ninalofikiria kulima ni vitunguu na pilipili hoho that's why nikaulizia market ya vitunguu in a large scale.Any advice boss?
Kuna aina ya vitunguu vya red clear(clear sijui kama nimeandika sawasawa) ukiitumia hiyo unaweza kuifadhi vitunguu kwa muda mrefu baada ya mavuno kulinganisha na red bombay ambayo haiwezi huwezi kuifadhi vitunguu vyake kwa muda mrefuThanks kwa ushauri mkuu sitaanza kulima yote kwa pamoja nikishamaliza kuchimba kisima nitaanza kama na ekari 20 tu hivi au 30 ili kupata uzoefu kwanza na nitakuwa naongeza ukubwa wa eneo kadri ya muda unavyokwenda na matokeo ya awali yalivyo,Vitunguu vinahifadhika kwa muda gani? what is the maximum time unayoweza kuvitunza another alternative naona ni kuvitunza hadi soko liwe zuri kama haviharibiki mapema.Huyo jamaa na yeye yupo Dodoma? kama yes ningependa kumtembelea kujizolea uzoefu wa vitendo kidogo 60 acres kama anazimanage vizuri ni nyingi sana
Kama unataka kulima Dodoma kuna maeneo ya Hombolo kuna mabwawa ya maji huitaji kuchimba kisima na sehemu hiyo ni maarufu kwa kilimo cha vitunguu
Nitakujulisha kwa undani zaidi kwani nategemea kwenda huko kwani nategemea kufanya hiki kilimo na nilipofatilia maeneo ya kilimo nilipata Dodoma na Ruaha mbuyuni njia ya kwenda Iringa mara baada ya kuvuka Morogoro.Ruaha nilishaenda huko kukodi shamba ni laki moja pia kuna Kilosa Morogoro huko ukiwa mwanakijiji wanakuuzia shamba elfu 50 kwa ekari na kukodisha ni laki mojaVp upatikanaji wake? Ya kukodi au kununua?
Nitakujulisha kwa undani zaidi kwani nategemea kwenda huko kwani nategemea kufanya hiki kilimo na nilipofatilia maeneo ya kilimo nilipata Dodoma na Ruaha mbuyuni njia ya kwenda Iringa mara baada ya kuvuka Morogoro.Ruaha nilishaenda huko kukodi shamba ni laki moja pia kuna Kilosa Morogoro huko ukiwa mwanakijiji wanakuuzia shamba elfu 50 kwa ekari na kukodisha ni laki moja
Nitakujulisha kwa undani zaidi kwani nategemea kwenda huko kwani nategemea kufanya hiki kilimo na nilipofatilia maeneo ya kilimo nilipata Dodoma na Ruaha mbuyuni njia ya kwenda Iringa mara baada ya kuvuka Morogoro.Ruaha nilishaenda huko kukodi shamba ni laki moja pia kuna Kilosa Morogoro huko ukiwa mwanakijiji wanakuuzia shamba elfu 50 kwa ekari na kukodisha ni laki moja
mkuu salam sana,nimefatilia sana hii thread now iko kama ina-hang..mimi nina mpango wa kulima na nimeshanunua pump aina ya HONDA 3inches,sasa nataka kukuuliza, natumai kwa mwaka huu nimeshachelewa msimu sio??mimi nataka nijaribu kulima kwetu ifakara..i call it testing..nipe ushauri mkuu...aina za mbolea,wadudu wanaoshambulia na dawa zake,hpe march mwakani nitaanza hiki kilimo.pamoja.
Nitakujulisha kwa undani zaidi kwani nategemea kwenda huko kwani nategemea kufanya hiki kilimo na nilipofatilia maeneo ya kilimo nilipata Dodoma na Ruaha mbuyuni njia ya kwenda Iringa mara baada ya kuvuka Morogoro.Ruaha nilishaenda huko kukodi shamba ni laki moja pia kuna Kilosa Morogoro huko ukiwa mwanakijiji wanakuuzia shamba elfu 50 kwa ekari na kukodisha ni laki moja
Wewe mwenyewe utakuwa huko shamba au kuna mtu unamwachia akuangalizie?
Shuguri zinaanza mwezi wa nne kwa sababu kipindi hicho mvua zinakuwa zimekatika vitunguu haviitaji mambo mengi nashukuru kwa kunikumbusha pia kipindi hicho kikikaribia naomba mnikumbushe naweza kupitiwaMkuu tunasubiri updates vp bado hujaenda tu?
Kwa mazao ya nafaka labda,lakini kama hayo ya horts yaliyotajwa hapo juu,hiyo itakula kwako unless huyo unayemwachia awe committed kama shamba lake na awe proactive kwenye matunzo,otherwise sikushauri.mimi ntaweka mtu shamba...ntakua naenda kipindi cha kupanda,kungolea na kuvuna.
Utatengeneza soko stabilizer mwenyeweNina mpango wa kulima kimojawapo lengo ni kulima heka 3 cha msingi nahitaji kujua zao lenye faida zaidi ya lingine, changamoto zake, soko pia muda nitakao utumia tangu kupanda mpaka kuvuna
Dunia hadaa....Utatengeneza soko stabilizer mwenyewe
Magufuli ni rais pekee ambaye licha ya Ukristu wake amefanikiwa kutengeneza urasimu serikalini kwa kuanzisha Tume pamoja sekta pendwa ya kujenga Tarura na kutengeneza ajira rukuki..
Uko mbele hata uwe na mawazo gani ya Job Creation andika tuu ukiona vipi tuma kwa makamu wa Rais kwa sababu huwezi kumfundisha mkristo kutengeneza kazi kwa sababu mtu akifa wanamuweka kwenye Jeneza..
Thamani ya mtu aliyekufa walikuwa hawaijui ni sawa na mchele, maharage, mihongo n.k ipo siku tutatengeneza jeneza lake aka kupack n.k
Pamoja na jeneza kuwekewa mauwa hizi ndiyo faida za mtu kufa:
1. Hupumui
2. Hufikirii hata ban/spam//Job Creation
3. Huendi kazini yaani kutembea
4. Hakuna ndoto maana watoto wanandoto
5. Hakuna kutafsiri ubaguzi
7. Hakuna kusafiri wala kuhudumia gari
8. Hupambanii sifa au uongozi
9. Huna interest
10. Hausomi Gazette, Vitabu n.k
11. Huna gharama za kodi ya nyumba, safari, nguo, kitanda, video au kingamuzi n.k
Kazi ya wakristu moja tu Jeneza na kupambania ideology yangu kwa sababu ya utakatifu tifu..
Hata hivyo zitakuwa mbinu za kupatia wanawake maana wstu kutokuwa na ajira fursa mwanamke leta K kazi fasta..
Kwa hisani ya watu wa marekani
HATA VIPI HATUJI KUWA PAMOJA