Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,065
- 8,327
Mahitaji
1)Kuku
2)kitunguu maji 1
3)kitunguu saumu 1 teaspoon
4)tangawizi 1 teaspoon
5)pilipili manga 1 teaspoon
6)pilipili mboga 1
7)baking powder 1 teaspoon
8)mafuta ya kupikia
9)chumvi kiasi
10)mayai 5-6
Namna ya kutaarisha
1)chemsha kuku,weka chumvi,kitunguu saumu na tangawizi...
2)akishawiva vizuri,chambua kuku wako na kumtoa mifupa...
3)weka kwenye blenda kuku,kitunguu maji,pilipili mboga,mayai,chumvi na pilipili manga.....saga kiasi..
4)weka kwenye bakuli safi na uweke baking powder...
5)weka chuma cha kuchomea kwenye jiko
6)fanya kama unavyopika vitumbua vya kawaida
Vitumbua vya kuku tayari kwa kuliwa..
Pishi zuri sana. Kuku alikuwa na kg ngapi mpaka ukapata idadi hii ya vitumbua uliyoattach?? Na je mchuzi uliutumia wakati wa kusaga?
wanitamanisha weyeMahitaji
1)Kuku
2)kitunguu maji 1
3)kitunguu saumu 1 teaspoon
4)tangawizi 1 teaspoon
5)pilipili manga 1 teaspoon
6)pilipili mboga 1
7)baking powder 1 teaspoon
8)mafuta ya kupikia
9)chumvi kiasi
10)mayai 5-6
Namna ya kutaarisha
1)chemsha kuku,weka chumvi,kitunguu saumu na tangawizi...
2)akishawiva vizuri,chambua kuku wako na kumtoa mifupa...
3)weka kwenye blenda kuku,kitunguu maji,pilipili mboga,mayai,chumvi na pilipili manga.....saga kiasi..
4)weka kwenye bakuli safi na uweke baking powder...
5)weka chuma cha kuchomea kwenye jiko
6)fanya kama unavyopika vitumbua vya kawaida
Vitumbua vya kuku tayari kwa kuliwa..
ntakununulia mpenzi usijalisina hicho chuma cha kuchomea tu!!
mkuu muungwana anafaidi kwelikweliMahitaji
1)Kuku
2)kitunguu maji 1
3)kitunguu saumu 1 teaspoon
4)tangawizi 1 teaspoon
5)pilipili manga 1 teaspoon
6)pilipili mboga 1
7)baking powder 1 teaspoon
8)mafuta ya kupikia
9)chumvi kiasi
10)mayai 5-6
Namna ya kutaarisha
1)chemsha kuku,weka chumvi,kitunguu saumu na tangawizi...
2)akishawiva vizuri,chambua kuku wako na kumtoa mifupa...
3)weka kwenye blenda kuku,kitunguu maji,pilipili mboga,mayai,chumvi na pilipili manga.....saga kiasi..
4)weka kwenye bakuli safi na uweke baking powder...
5)weka chuma cha kuchomea kwenye jiko
6)fanya kama unavyopika vitumbua vya kawaida
Vitumbua vya kuku tayari kwa kuliwa..
Maajabu ya dunia! Vitumbua vya kuku!!
Hiimpya sijaisikiaga
hahahaaaaaaaaaa,hii inaitwa kua uyaone,mimi mwenyewe hapa nilikuwa mgeni wa hivi vitumbua..Maajabu ya dunia! Vitumbua vya kuku!!