unakuta msichana mzuri kaumbika kiafrika na anavutia ukimtizama ila tumbo sasa dah mpaka linaning'ing' inia yanii
wengine hata wajazaa bado sasa walikwisha kuwa wazaxi wanajiachia sana ndio tunapenda bantu figure ila liwe natural sio la kupikwa kwan linanenepesha kila kitu....na sku hizi na body suit zao zunaaacha vitambiiii bwereeeeee
Kwa upande wangu sioni tatizo, lkn kwa wanaume wanaopenda big behinds inawapunguzia raha yao.
Recently nimekata 8 kilos so nina experience na cutting up some fats, maana l had to change the whole wardrobe. Sarawili zilizokuwa hazifungi sasa hivi zachea.
ukisema usikilize wawa opposite sex wetu utakufa mifupa mitupu ... nimechoka kujikondesha mweeenina miezi mitatu sijawai kunywa soda supu michemsho wala uji
kwani kitambi kina shida gani jamaniHapo umenena.
si unaniona full kunenepeana eti nijipunguze tena
Wabongo wanapenda vitu vikubwa. Nyumba kubwa, gari kubwa, msosi mkubwa, vyeo vikubwa, masaburi makubwa, and the list goes on.
Hongera. Kilo nane ni nyingi aisee. What did you do na ilikuchukua muda gani?
Sio hii bwana cheki avatar ! Nina kitambi?
wa kaka yakoupaja wa nani huu?
Hapo umenena. Wengine ni wanene genetically, wengine wana bones kubwa lakini wanataka kuwa hivi
upaja wa nani huu?
Kha, walah Sijawahi ona sentensi refu namna hii. Halafu, ulitaka kusema nini vile?unakuta msichana mzuri kaumbika kiafrika na anavutia ukimtizama ila tumbo sasa dah mpaka linaning'ing' inia yanii
wengine hata wajazaa bado sasa walikwisha kuwa wazaxi wanajiachia sana ndio tunapenda bantu figure ila liwe natural sio la kupikwa kwan linanenepesha kila kitu....na sku hizi na body suit zao zunaaacha vitambiiii bwereeeeee
I literaly starved myself, it was 5 weeks. I weighed 72kg sasa hivi nina 64kg and nakula lkn naangalia amount ya carbs no fat at all na lots of fruits as snack.
Hataka nini? na aache nini? Anyway, tutakula hivyo hivyo, lakini mchezo hautarudiwa!sasa hivi sijipunguzi tena kama mtu hataki aache!
sasa hivi sijipunguzi tena kama mtu hataki aache!
Hataka nini? na aache nini? Anyway, tutakula hivyo hivyo, lakini mchezo hautarudiwa!