Vituko vya wanafunzi ndani ya mitihani!

Vituko vya wanafunzi ndani ya mitihani!

Nakumbuka wakati tuko form 4,jamaa mtihan ukawa umemgonga akanambia nimuoneshe majibu adese nikakataa,basi alinichoma na bikari nikapiga kelele,invigilator alpokuja nkamwambia kuna mdudu amening'ata
 
pratical biology necta form 6 tulipewa chura tumdisecte in situ yaani tumchane na kuonesha viungo vya ndani bila kukata kiungo chochote.njemba moja ikakata moyo bahati mbaya ikabidi aumeze kuogopa f..jamaa akamuita invegilator na kumuambia chura wangu hana moyo...mwalimu katafuta mpaka mwishowe akampa chura mwingine


Hii stori niliikuta Mazengo Advance
 
mm nikiwa udsm mshikaji aliniomba msaada nikamwambia asubiri,jamaa akaona anachelewa akavuta paper yangu. nilichoka
 
Nakumbuka pepa ya banking law chuoni, kwavile lilipangwa kuwa la mwisho kati ya mitihani yooote ss watu janayake c wakakesha club ili wakija wapige waue maana likizo time inafuata. Kama kawaida keshoyake saa 2asbh prof. kaingia exam room na kuanza kugawa pepa bas jamaa mmoja baada tu ya kugawiwa lake akamwita tena sorry ticha, ticha akaja, jamaa kamwambia kwa sauti kubwa hii co bili yangu, hlf akaanguka kutoka kitini had chin, bas darasa zima kwi..kwi.. kwi, ss prof. kauliza anasemaje huyu? Watu huku wanambeba frm class to hostel ana malaria tokea jana ticha! Hlf huyo jamaa na kichwa hataree alipangiwa pepa yake sk nyngine akapasua A

hataree
 
Shule moja hivi Morogoro.

Watu walipata inayodhaniwa kua ni feki. Wakashinda na kukesha nayo wakikariri. Usiku Mzima wako nayo tu na mpaka wanaingia asubuhi bado wanayo tu.

Kimbembe ile kuingia darasani Kumbe kitu" sio".

Hatukubali, sio yenyewe, mmetubadilishia, sio haki n.k. ndio kauli zilizosikika kutoka kwa wanafunzi hao.

Kilichofuata ni kurusha viti, kuvunja madawati, kuchana pepa, kumkimbiza invigilator n.k.
 
Baada ya wanafunzi kuomba ruhusa mara Kwa Mara wakienda chooni msimamizi akawa haelewi kinachoendelea.Mwanafunzi mwingine alipoomba ruhusa msimamizi akamwambia "Hata usipoenda desa nmeshalitoa".Kijana akakaa na kuendelea kujibu mtihani.Hadi mtihani unaisha hakuna alotoka tena.
 
Back
Top Bottom