...Come on Susuviri....He's human being kwani kuna president unadhani haitaji ku-relax?? Kwa kweli kwangu naona ni sawa tu let him ajichanganye na ku-enjoy kuwa president haimaniishi basi kila sekunde, dakika, saa, siku, wiki, mwezi na mwaka eti uko busy haiwezekani tena nadhani unaweza ukashindwa kuperform..Lakini unajua inatisha! Yaani NUmber 1 of the most powerful nation ni mbumbu hivyo! No class! Kumbe ndo maana uchumi wa dunia nzima inasuasua! Afadhali angemwachia Laura aendeshe nchi!
Tena ukitoka hapo mwili na akili vinakuwa viko vizuri na fikra mpya zinapatikana....I wish hata JK angeenda tu na yeye kusafisha macho it's part of life mtu wangu au unasemaje??