rama halavi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2015
- 269
- 236
Wengine wamezagaa ujerumani, china na uingereza hasa wale waliokuwa wanachaza sarakasi. Ila wale waliokuwa makonda na madereva wangi wako south zaidi ya miaka na miaka kama hawana kwao wala nduguSifa nyingine ya mwananyamala,vijana wengi sana wamekimbilia South,wapo waliomaliza 10-20 yrs huko SOUTH.
Weng sana wapo Bondeni,hawana idadi