wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,008
- 28,342
Msanii mmoja aliekuwa anaitwa "kinya" alikuwa anaperfom jukwaanani!!kabla ya mziki kuanza kumbe kulikuwa wasanii wenvine ikabidi wajitambulishe!!!
Kama mnavyojua ikabidi kila mmoja ajitambulishe!!
Ikaanza na mh.temba!!
Temba" yeah!! temba!!!(kama mnavyojua swaga zao za kujiyamvulisha)
Chege:yehni chege hapa!!!
Dudu baya;yeah ni dudu baya hapa!!
Mr.blue !!yeah ni mr.blue hapa!!
Sasa ilipofika kwa :kinya: akasema yeah!! Ni kinya hapa!!
Mashabiki wakapaza sauti kwa nguvu wakasema utazoaaaaa

Kama mnavyojua ikabidi kila mmoja ajitambulishe!!
Ikaanza na mh.temba!!
Temba" yeah!! temba!!!(kama mnavyojua swaga zao za kujiyamvulisha)
Chege:yehni chege hapa!!!
Dudu baya;yeah ni dudu baya hapa!!
Mr.blue !!yeah ni mr.blue hapa!!
Sasa ilipofika kwa :kinya: akasema yeah!! Ni kinya hapa!!
Mashabiki wakapaza sauti kwa nguvu wakasema utazoaaaaa
