Vituko vya mmasai guest house

Vituko vya mmasai guest house

Joined
May 8, 2012
Posts
29
Reaction score
4
Mmasai mmoja alikodi chumba Guest House, na mara tu alipoingia kwenye chumba alichokodi ili alale, akakuta kitanda kimeshachomekwa chandarua. Kesho yake asubuhi Mhudumu akaja na kuingia chumbani kwa Mmasai akamkuta amelala chini, ikabidi amuulize Mmasai mbona umelala chini? Mmasai akajibu; unafikiri Masai ni mujinga saaaaaana aingie kwenye mutego.
 
Haahaahaahaahaa! Dah! Lakini sikuhizi wameendlea wanavaa hadi suti!
 
Walikuwa wajinga ivo enzi hizo
 
Mmasai mjanja,alijua ameweke mtego ili aibiwe.................


Sent from my BlackBerry 8520 using Jamie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom