sijaona kituko bado
Hivi Karamagi kamrudishia Mkewe. Maana Karamagi alimpokonya mke huyo
Siyo rahisi kipofu kuona!Uthibitisho hautoshi weka picha zaidi hapo sijaona kituko bado hebu weka picha tena.
Hivi Karamagi kamrudishia Mkewe. Maana Karamagi alimpokonya mke huyo
Mama yake alikuwa anabamizwa na mwalimu wa primary, mama alivyopanda akamtosa mwalimu.huyu jamaa anatembelea mahaba ya mama ake, hivi hana baba? mzee mongela ndio nani?
Kama kwenu mnatawaliwa, Kagera hawataki wala hawahitaji watawala.WAHAYA!
Kama kila mmoja ajaye mnamtoa kasoro mnataka mtawaliwe na mtu wa aina gani? Mbona kijana yuko fair sana kwa wananchi na mara zote anashinikiza DED kuhakikisha wanawajibika kwa wananchi wote bila ubaguzi wala kinyongo!
Mama yake alikuwa anabamizwa na mwalimu wa primary, mama alivyopanda akamtosa mwalimu.
nawadharau sana wakuu wa mikoa,kazi yao ni kufanya vikao vya ccm kwenye kumbi za ofisi za mikoa bila kulipia na wanalazimishaga chakula cha vikao vya hayo majambazi zilipwe kutoka fedha za serikali..ni takataka kabisa,wakuu wa wilaya ndio wapuuzi kabisa,hulazimisha madreva kusaini leja za mafuta kwenye vituo vya mafuta wakati mafuta wamepewa makada wa ccm,wenye misimamo hukataa na kutuletea habari za wizi kama huu!ccm ni majizi na ushahidi upo mwingi tu..
Haswa!!!Kwa hiyo jamaa amekuzwa na mzazi mmoja, mama?
wana uhakika kwamba cdm hawawezi kuishinda ccm milelesipati picha chadema ikichukuwa nchi hawa wakuu wa mikoa na wilaya watajificha wapi!lazima wavae gwanda.
WAHAYA!
Kama kila mmoja ajaye mnamtoa kasoro mnataka mtawaliwe na mtu wa aina gani? Mbona kijana yuko fair sana kwa wananchi na mara zote anashinikiza DED kuhakikisha wanawajibika kwa wananchi wote bila ubaguzi wala kinyongo!