Vituko vya Mkuu mpya wa Mkoa Kagera John Mongela

Vituko vya Mkuu mpya wa Mkoa Kagera John Mongela

Thethethe hiyo ya karamagi imeniwacha hoi
 
jamani kwa nini hamuheshimu viongozi wenu? hamjui hao ndo wanahangaiaka kwa ajili yetu mpaka sasa tuna amani?
 
jamani kwa nini hamuheshimu viongozi wenu? hamjui hao ndo wanahangaiaka kwa ajili yetu mpaka sasa tuna amani?

Mongella ni mzee wa kazi! wazembe, wezi, wapenda majungu na wababaishaji hawataishia kusema na kuandika kwenye mitandao bali wataacha kazi!

Waulize wakurugenzi na watumishi wa jiji Arusha moto aliowawashia! Mpeni ushirikiano mzalendo wa kitanzania awaletee maendeleo na awashughulikie wahujumu maendeleo!
 
Tanzania tanzaniaaaaa......nakupenda kwa moyo woteeeee!! Nchi yangu Tanzania jina lako ni tamu sana??
 
Kituko no 3:
Mkuu wa Mkoa wa Kagera ameagiza watumishi wote wa ofisi yake bila kujali dini zake kushiriki katika suala la usafi wa jumuhiya kila JUMAPILI kuanzia saa 1:30 asubuhi katika hospitali ya mkoa.kila mtumishi afike na jembe,fagio nk. agizo hilo limeanza utekelezwa licha ya waumini wa dini ya kikristo kulalamikia hali hiyo
 
4:Kituko no 4
Mkuu wa mkoa jana ametangaza rasmi kuwa yeye ni mkuu bora kuliko waliomtangulia,anawashangaa kwa kutoleta maendeleo ya kagera kama atakavyofanya yeye....
 
Huyu jamaa toka anipore demu wangu Betila na kumuoa sina hamu naye kabisa..najuuuta kumfahamu
 
Yangu macho ijapo Niko naye katika kuuletea mkoa maendeleo zaidi kwa mipango yake
 
Hivi huyu jamaa ana uhusiano wowote na Getrude Mongella?!

ni mototo wake wakuzaa anayefuatana na Patrick. mama momgela jumamosi alimzika baba yake mzazi pale kagunguli ukerewe na yeye alikuwepo kama mjukuu.
kumbuka usemi wa mzee yusuph makamba
ukiwa mtoto wa milinzi na we we utakuwa mlinzi...
tumia akili akili yako
 
2:RC mpya Kagera afuta siku ya Usafi iliyoanzishwa na RC Masawe
Mkuu mpya wa Mkoa John Mongela amefuta uatartibu wa kufanya usafi kila alhamisi ulioasisiwa na mtangulizi wake Fabian Masawe.Amekaririwa akisema 'kazi ya kuafanya uasafi ni ya mabwana na mabibi afya' siwezi kufanya uasafi mimi,nina majukumu ya maana.

Hiyo mbili safi sana mkuu yaani Massawe alianzisha lakini hakufanya tathmini yeyote naye angieondoa tu, kilichokuwa kinafanyika ni watoa huduma kuchelewa kufika kazini kwa madai kuwa wanafnya usafi lkn wengi wao walikuwa wanaishia kwenye supu na bia za asubuhi huku huduma zikidorora
 
Heri Mongella kuliko ZZK, achaeni apige kazi, unataka kumpa mkeo au unatangaza nini?
 
Nilikuwa namgugo huyu mtu nikakutana na hii thread
 
Mwenye mamlaka makubwa zaidi yake ameisoma ameisikia asubiri mvua ya vuli.
 
Back
Top Bottom