Vituko vya mimba!

Kuna mmoja nilimuona anaokota kinyesi kikavu kwenye mapagale na kutafuna anasema anapenda mlio wake anapotafuna na ni mama msomi tu duuu.
 
mimba inataka chupi ya mmewe ,mama anataka kuva au kutembea nayo kwa bag nakuinusa!
 
mimba noma, dada alikuwa akimwona mmewe anatapka balaa! ilibidi ahame nyumba
 
Akipata mimba ...peleka kijijini akae na wakwe uone kama huo ujinga atawaambia
 

nakataa kuvitafuna !!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…