Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,160
- 72,200
Hapana, huyu ni Mkenya anaitwa nikk mutuma ingia Google utamjua vizuri
miaka yote najua huyu jamaa kwenye avatar ni Daby OG kumbe ni Mkenya?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
hahahahahaha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
miaka yote najua huyu jamaa kwenye avatar ni Daby OG kumbe ni Mkenya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijiunga hapa mwaka 2009, nina Id moja tuu, ila nilibadili user name kwa sababu ile ya kwanza ilikuwa inafanana sana na jamaa mmoja hivi, ikawa inaleta sintofahamu katika uchangiaji.Kukaa na ID moja kwa miaka 7 kama akina sisi si mchezo. Wengi wanabadili ID baada ya kuharibu. Mimi sijawahi hata kupata BAN ya nusu saa!
Ila wanaobadili ID huwa wanatupa changamoto sana!
Hahaaaa. Mdogo wangu watu wana kazi bana, yaani anaanzisha ID mpya ili tu apate kujisifia na kujipaisha.Hahahahahaaaaaaa.
Hii ya kujisifia na ID nyingine iko poa sana.
Kiukweli watu wanavituko sana humu ndani
du aseee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
miaka yote najua huyu jamaa kwenye avatar ni Daby OG kumbe ni Mkenya?
Sent using Jamii Forums mobile app
na vinazidi kuongezeka siku hadi siku...yaani acha tuHahaaaa. Mdogo wangu watu wana kazi bana, yaani anaanzisha ID mpya ili tu apate kujisifia na kujipaisha.
Na vituko vyake haviwezi kuisha zaidi ya kuongezeka kila kukicha
waache itajulikana tuWakongwe wote wa kitambo wamekuja na ID mpya, eti hawataki kuonekana Wahenga..
Ila kazi wanayo kwa kweli.na vinazidi kuongezeka siku hadi siku...yaani acha tu
Sent from my iDevice using Tapatalk
Umefika wakti wa wao kujitambuaIla kazi wanayo kwa kweli.