St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,195
Jf kuna pm unaweza kuhisi una gegeda na huitaji kuwa kwenye chama ya CPT (chaputa).
Anatuvura kweli



Mwenyewe nilimuwaza huyo

Ila ukasema hujawahi kuolewa wala kuzaa,watu wakakusechi wakakuta unazungumzia mwanaoKuna shida Mkuu kutafuta mume?
Kama ni mtu kaniomba nimtafutie je?Ila miss umezidi na wewe
Tatizo mnaangalia upande mmoja wa shilingi.nipo wazi kabisa nasomeka .kama unataka mke njoo upewe
AhahaasHapo lazima mtoto umtie kapuni na utangaze una bikra, siku ya siku unamwagia tomato sauce kidogo, halafu Okw Boban Sunzu anakuja kujisifia mtaani leo nimetoa mtu bikira 😀😀😀😀😀😀😀
Nataka demu sitaki mkeTatizo mnaangalia upande mmoja wa shilingi.nipo wazi kabisa nasomeka .kama unataka mke njoo upewe
Nimefika best Ahsante kwa kuniwekea siti
Ha ha haaa!! huyo si ndo baadaye aliitwa sijui nani bosslady!!!!! JF bwana.Where the hell is Erick Otieno ?![]()