Mh!kwa umri wake kama ni kumfuata mama yake ni lazima angeelekea makaburini.
hahahhahahaahah, ungeenda tu mpaka uko hafu unamwambia nakusubilie hapa nje uje na mama yako eeh.Mh!kwa umri wake kama ni kumfuata mama yake ni lazima angeelekea makaburini.
Mh!kwa umri wake kama ni kumfuata mama yake ni lazima angeelekea makaburini.
Mh!kwa umri wake kama ni kumfuata mama yake ni lazima angeelekea makaburini.
Basi nikiwa nalitazama soko letu pale Tunduma likiteketea,mara namwona teja anakuja upande wangu mbio.Mkononi alikuwa na dozen moja ya vijiko alivyoiba,nikamsikia akimwambia teja mwenzie;mwanangu huu mwaka wetu,lazima tutoke,napeleka hivi vijiko gheto na nitarudi kwa ajili ya sahani za plastiki.Yaani vitu kibao vya thamani vilikuwepo kama Tv,decks,solar panels,radios n.k,lakini teja akaamua kuiba vijiko na sahani.