ARUSHA: Masheikh 9 miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa zaidi ya Miaka 10 katika Gereza Kuu la Kisongo wamesomewa Mashtaka katika Mahakama ya Kuu ya Kanda
Masheikh 6 kati yao wamekutwa na hatia ya kulipua Kanisa Katoliki la Parokia ya Mtakatifu Joseph #Olasiti Mwaka 2013 na kusababisha madhara makubwa hivyo kuhukumiwa kunyongwa
Waliohukumiwa ni Imam Jaafar Hashima Lema, Yusuf Ali Huta, Ramadhani Hamadi Waziri, Abdul Hassa Masta, Kassim Idrisa na Abashari Hassan Omari na waliochiwa huru ni Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani kwa kosa lingine)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.