Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_1701946539269.jpg
 
Africa's population in year 2100 as projected by the UN Population Division:

1. Nigeria: 546 million
2. Congo: 431 million
3. Ethiopia: 323 million
4. Tanzania: 244 million
5. Egypt: 205 million
6. Niger: 166 million
7. Sudan: 142 million
8. Angola: 133 million
9. Uganda: 132 million
10. Kenya: 113 million
11. Mozambique: 106 million
12. Côte d’Ivoire: 88 million
13. Cameroon: 87 million
14. Mali: 87 million
15. Madagascar: 83 million
16. South Africa: 74 million

#blackhistory #knowthyself #BlackHistoryMatters #blackhistory365View attachment 2836648

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wataongezeka, wafugaji holela wataongezeka na hivyo mifugo itaongezeka mara dufu.
Miti itakatwa yote ili kujenga miundombinu ya ufugaji, vyanzo vya maji vitakaushwa vyote kutokana na kwato za wanyama na uharibifu mwingine wa mazingira.
Tanzania hatimaye itakuwa nchi ya Jangwa. Jangwa kubwa litachukua nafasi hasa kwenye mikoa ambayo hivi sasa ina misitu minene na ambayo ndiyo inayowindwa na wavamizi wenye mifugo wengi.
Morogoro, Lindi, Iringa, Ruvuma,Rukwa, Katavi na Tanga.
Mungu ibariki Tanzania.
Ila nashukuru kwamba mwaka 2100 sitakuwepo, ingawa nina hakika kizazi cha wakati huo kitayasimanga makaburi yatu kwa madhara tuliyoitendea nchi hii kiasi cha kuwaachia janga la ukame.
 
Back
Top Bottom