Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hivi hii account ya JF huko FB ni official? Maana huwa naiona ina mapungufu mengiView attachment 2836355

Sent using Jamii Forums mobile app
Nomba sana huyu bro awe mzima. Ni mtu humble sana na asiye na makuu. Yaani ukiongea naye ni kama vile unaongea na mshikaji. Kama kuna changamoto za kiafya zinamkabili basi Mungu Akamvushe salama kama alivyomvusha kwenye Korona! 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
FB_IMG_1702043834218.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom