Kweli,mwenyewe nikipika dagaa natumia vyombo vingi,Mara moja moja huwa napika ila sana sana mpaka Mama E akiwepo ndiyo huwa tunajipikilisha pamoja. Wikendi ya wiki hii atakuwepo na nimepanga kupika dagaa na bamia. Yeye sijui atapika nini hata sijui...
Shida ya kupika ni ule mlolongo - nyanya, vitunguu, sijui nini...unakuta masufuria hata 6 yameshachafuka. Bado la ugali. Kesho yake kuja kuyaosha sasa dah!![]()
Kuosha vyombo ni mtihani!Kweli,mwenyewe nikipika dagaa natumia vyombo vingi,