Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 3,082
- 4,472

Which is which?Mkemia mkuu wa serikali anasema Dkt. Fidelice Makumiko amesema : ''Dawa hizi ni msaada, na hawawezi kukataa kitu ambacho wamepewa...dawa hii tumeipokea kama msaada na sio kwa ajili ya kugawa kwa wananchi ... dawa hii tumeipokea kama zawadi kwa ajili ya kufanya utafiti wakatuonyesha kuwa ni salama na haina madhara kwa wananchi wao''
Jr![]()
Yaani hiyu apewe adhabu Kali maana katu sababishia mateso kutoka kwa *scars*