Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20231024-215101_WhatsApp.jpg


Mama: Safari hii sikunyweshi, ile ilileta gumzo sana....😎.

Baba: Hamna shida, ila hata hii watasema tuu hivyo bora ungeninywesha tena tuu jirani....😁
 
Screenshot_20231024-232247_WhatsApp.jpg


Hivi unene wa asili hauna tiba?

Hata ukiutoa/ukiupunguza unarudi tuu???

Sasa hawa wa mloganzila.....!!! Wanahakikisha matibabu yatadumu kwa muda gani?

Au utatakiwa kila dozi ikiisha uende tena ukarekebishe tena....???!

Wenyewe wanasemaga ukifanikiwa kwenye ku maintain discipline and consistency...

Basi shida yako imeisha.... ila gharama yake sio ya kitoto. Kwa maana ya kuiishi hiyo discipline na consistency 🤓.
 
Back
Top Bottom