bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 10,345
- 23,433
Ni wa MzumbeBoss wa UD kaona isiwe tabu avute kitu kipindi hiki,hakuna hata gharama,
Sent using Jamii Forums mobile app

Wapi hii na ilikuwa kuhusu nini?Wabongo wameanza na wao View attachment 1439766
Hapo Grammar imefeli kwanza
Boda ya tz na Rwanda, Rwanda inataka dereva wa tz akifika boda aache gari ichukuliwe na dereva wa Rwanda ivuke boda ikashushe mzigo wewe mtz unabaki boda Kama hutaki una shusha mzigo wako hapo hapo boda Sasa wabongo wakalipa kisasi gari za Rwanda nazo ziishie bodaWapi hii na ilikuwa kuhusu nini?
"رمضان كريم وصوم مقبول"