Ndugu zangu Wanyalu buana. Yani Iringa ni mkoa wa pili kwa idadi ya mbwa wengi ikitanguliwa na Arusha. Lakini Iringa haipo kwenye mikoa ambayo watu wake wanang'atwa na mbwa. Yani licha ya kuwa na mbwa wengi lakini matukio ya watu kung'atwa na mbwa ni machache. Maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba, Iringa mbwa hang'ati watu bali watu ndio wanang'ata mbwa. Kamwene
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.