Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1695515025160.jpg
 
Loukassa ya Mbongo.
Aliyekuwa kiongozi na mpiga gitaa la Rithim wa kundi la Soukous Stars ambalo lilisumbua sana miaka ya 90 na 2000.
Msanii huyu alifariki march mwaka huu kwenye hospital ya St Joseph Nashua, nchini Marekani.
Hata hivyo mwili wake bado ungalipo Mortuary kwekuwa ndugu na marafiki zake wanaendelea kuchangishana ili kupata dola alfu 10 za mazishi.
FB_IMG_1695474716566.jpg
FB_IMG_1695474712819.jpg
 
Back
Top Bottom