NAOMBA MSAMAHA KWA KULALA NA KUFANYA MAPENZI NA MAMA YAKE ERICK OMONDI
Msanii wa mziki wa injili nchini Kenya Ringtone, amemuomba msamaha Erick Omond na wakenya wote kwa ujumla kwa kulala na mama yake.
" Ninaomba mnisamehe, nimeshatubu dhambi zangu, nilikosea sana kwa kulala na mama yake Erick Omondi. Najuta kufanya hivyo. Naombeni mnisamehe, nilipitiwa na shetani wala haikuwa akili yangu lakini naapa kwa wakenya wote sitorudia tena"
Ebu jaribu kuvaa viatu vya Erick Omondi je vitakutosha??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.