Baada ya kuachana kwa talaka tatu kwa mpigo, kisha wakarudiana tena Baada ya kupatanishwa na Zamaradi Mketema ambapo walidumu kwa wiki moja tu wakaachana tena, kwa mara ya tatu Dulla Makabila na aliyekuwa Mkewe Zaiylissa wamerudiana tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.