Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

English
1692848507867.jpg
 
Leo JW wamenishangaza kuita press eti kuzungumzia watu wanaovaa mitumba au nguo za rangi ya kufanana na kombati za JW. Wanasema baada ya siku 7 watapita hata majumbani kukagua nguo zikiwemo boxer kama utazianika nje. Kazi ya jeshi ni hiyo kweli? Kupita kwenye majumba ya watu?
 
Back
Top Bottom