dongo jeusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 248
- 210
Hujaelewa anacho maanisha. Ni kweli BOT ni giza tupuHii habari Yako Watakaokuamini Hawana Akili, Sehemu kam BOT haiwez kukosa Mbadala wa Umeme eti itegemee umeme wa Tanesco pekee,
Pale ni 24/7 Umeme upo ON ukikata tu wa Tanesco Automatic Generator inajiwasha ni suala la Sekunde kadhaa Tu,
Mimi sio Mwana Ccm na wala sifurahishwi na Serikali hii Ila kwa Hili nakupinga Kam una ushahidi Leta Tuamini.
