Kama upo FB mbona vingi tu,sina chimbo la kupata vituko sasa![]()

ngoja kuna mtu namalizana nae afu ntapunguza shobo kule😂 hapafaiKama upo FB mbona vingi tu,
Hama kule kwenye danguro![]()
Kule hakufai,ujinga mwingi sana,ngoja kuna mtu namalizana nae afu ntapunguza shobo kulehapafai
haya weka vituko tucheke😂Kule hakufai,ujinga mwingi sana,
Kule wamejaa watu wazima visheti,
mideko kama mideko😂