Mwanadada Natalia(31) aanika ubora wake mpya
Mrembo huyo wa Urusi Mbeba vitu vizito ameolewa miaka kadhaa iliyopita na mume wake ni huyo aliyembeba….Picha Zaidi Kwenye Comment
Natalia alianza kubeba chuma akiwa na miaka 14 ambapo mwanaume aliyehamasisha aongeze bidii awe mwanamichezo ndie huyo aliyekuja kumuoa baadaye.
Mume wake anabeba chuma pia Ila hana mwili mkubwa kama wa mkewe huyo ambaye ameshashinda mataji kadhaa. Natalia ni mwanamke hajawahi kuwa mwanaume kabla kama ambavyo unaweza kudhani sababu ya misuli aliyonayo
View attachment 2714916
Sent using
Jamii Forums mobile app