Hii wapi mkuu?.
Mmmh!Body imesima hatari.
Hahahaaa!.Nampenda Mond lakini kwa upuuzi huu asipoukemea ataanguka
MAAJABU PICHA YA DIAMOND YAONEKANA ANGANI
Unaambiwa leo majira ya saa 00:30 usiku maeneo ya Kigamboni, Daraja la Nyerere imeonekana picha ya Msanii wa Tanzania Diamond Platnumz juu ya anga.View attachment 2701031
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenichekesha sana
Wewe ni mwalimu wa wapi?
Wewe ni mwalimu wa wapi?