Huyo binti yupo FB group la waha wa kigoma
Hao ndio binaadamu
.. Zuchu kaimba kaingiza hela wao wamebaki na vijembe 
Wakitoka hapo wata practice na kifo kisha watafika mpaka mochwari na makaburiniWamefata nini Muhimbili, au wanafanya real practical action![]()
