Tafuna miwa Hadi Taya ziombe poooMpwa. Nimeweka stock ya kutosha stoo na kazi inaendelea
View attachment 2688258View attachment 2688259



Huku Misungwi yaani mtu ukiamka tu unaamka na miwa. Halafu nadhani hii mbegu ya sasa imechakachuliwa maana miwa ni mitamu hatari!
Hapana mjukuu. Huyu ni mjukuu mwingine. Tumeshaongea na kumaliza ishu yetu 🙏🏿
Miwa naipenda Sana na ni wakati wake Sasa,. tafuna babuHuku Misungwi yaani mtu ukiamka tu unaamka na miwa. Halafu nadhani hii mbegu ya sasa imechakachuliwa maana miwa ni mitamu hatari!
Sasa hivi ninapoandika hapa nishateketeza mitatu na mpaka jua likachwe lazima 10+ itakuwa ishaenda na maji. Taya zimezoea!![]()