Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

289af891350450ff38a7520df4903e7a.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuna miwa Hadi Taya ziombe pooo

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Huku Misungwi yaani mtu ukiamka tu unaamka na miwa. Halafu nadhani hii mbegu ya sasa imechakachuliwa maana miwa ni mitamu hatari!

Sasa hivi ninapoandika hapa nishateketeza mitatu na mpaka jua likachwe lazima 10+ itakuwa ishaenda na maji. Taya zimezoea! 😁😁😁
 
Huku Misungwi yaani mtu ukiamka tu unaamka na miwa. Halafu nadhani hii mbegu ya sasa imechakachuliwa maana miwa ni mitamu hatari!

Sasa hivi ninapoandika hapa nishateketeza mitatu na mpaka jua likachwe lazima 10+ itakuwa ishaenda na maji. Taya zimezoea!
Miwa naipenda Sana na ni wakati wake Sasa,. tafuna babu

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom