Baada ya watoto wake kuwa mashabiki wakubwa wa undertaker,mmoja kati ya wacheza mieleka maarufu sana wa WWE.
Bilionea kutoka Saudi Arabia, Turki bin Abdul Mohsen bin Abdul Latif Al Al-Sheikh is alimlipa Undertaker aje nyumbani kwake kucheza na wanae wa wiki mzima ili kuwafurahisha tu watoto.
Bilionea huyo ambaye ni mshauri wa familia ya kifalme ya Saudi Arabia,waziri wa michezo na burudani pia mmiliki wa Almeria FC ya spain aliahidi kuuleta mchezo wa Mieleke wa WWE nchini kwake Saudi Arabia.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Meta Mark Zuckerberg ameonekana akifanya mazoezi na magwiji wawili wa Ngumi za Kulipwa waaliowahi kushinda mataji ya Mapambano ya juu kabisa kwa kutwaa Mkanda wa UFC World Champions, Israel Adesanya na Alexander Volkanovski kabla ya pambano lake linalowezekana kutokea kati yake na Elon Musk !!
Mark Zuckerberg na Elon Musk wamekuwa wakifanya mazoezi kwa sana MMA katika wiki kadhaa zilizopita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.