Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Kuna ulazima wa kumtengenezea mtu keki kama hii kwenye birthday yake?
MafurikoMideko jamaniii![]()
Ccm Wanamuandalia mazingira ya kuwa mpinzani maana Zanzibar kwa sasa hakuna upinzani lao moja tu.

Ooh!! Ndiyo maana walikunyanganya uzi... wakampa Pastor...My apology kwa wapenzi wa hii mada, uongozi wa JF na wasomaji wengine wote, uungwana ni vitendo..kuna mahali nilikosea Naomba radhi kwa vipindi tofauti hapo nyuma nilipopost picha zisizo na madili ya kukidhi matakwa ya forum.. !
My apology pia kwa wote ambao kwa njia moja ama nyingine walikwazika na picha hizo.. Tunajifunza kupitia makosa yetu kutokana na kupungukiwa na ukamilifu wa kibinadamu.. NAAHIDI KUWA MAKINI ZAIDI
Sent using Jamii Forums mobile app