Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

b315771bfde4e755f56b2568c8fdd8a5.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Light kama tungekua tunafanana akili na mawazo yanaendana bac ingetupasa kumtenga mazima huyu jamaa post zake na habar zake ni kuzifunika kama kinyec chake mwenyewe” kwangu me namchukulia kama ni muasi wa Nchi kwakitendo cha kushirikiana na samia kuuza Nchi kwa waraabu wa Dubai

Alifanya haya Loliondo na sasa ni Bandarin na anajikuta kuwa yeye ni mtu falani hivi anaeweza Suport chochote na kikafanikiwa hii ni dharau kubwa sana kwa watu wa mtandaoni na jamii nzima ya watanzania.
FB_IMG_1688290108416.jpg

Credit: Fatma Karume FB

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Light kama tungekua tunafanana akili na mawazo yanaendana bac ingetupasa kumtenga mazima huyu jamaa post zake na habar zake ni kuzifunika kama kinyec chake mwenyewe” kwangu me namchukulia kama ni muasi wa Nchi kwakitendo cha kushirikiana na samia kuuza Nchi kwa waraabu wa Dubai

Alifanya haya Loliondo na sasa ni Bandarin na anajikuta kuwa yeye ni mtu falani hivi anaeweza Suport chochote na kikafanikiwa hii ni dharau kubwa sana kwa watu wa mtandaoni na jamii nzima ya watanzania.
View attachment 2676089
Credit: Fatma Karume FB

Sent using Jamii Forums mobile app
Our modern era Mangungos...

So embarrassing!
 
Back
Top Bottom