Light kama tungekua tunafanana akili na mawazo yanaendana bac ingetupasa kumtenga mazima huyu jamaa post zake na habar zake ni kuzifunika kama kinyec chake mwenyewe” kwangu me namchukulia kama ni muasi wa Nchi kwakitendo cha kushirikiana na samia kuuza Nchi kwa waraabu wa Dubai
Alifanya haya Loliondo na sasa ni Bandarin na anajikuta kuwa yeye ni mtu falani hivi anaeweza Suport chochote na kikafanikiwa hii ni dharau kubwa sana kwa watu wa mtandaoni na jamii nzima ya watanzania.
View attachment 2676089
Credit: Fatma Karume FB
Sent using
Jamii Forums mobile app