Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230629_143538_Instagram Lite.jpg
 
Katika kipindi cha vita ya Pili ya Dunia Ujerumani alitengeneza uwanja cha ndege bandia (Fake Airport) zikiwemo Ndege bandia za mbao, Magari n.k ili kumchanganya adui yake (Uingereza na washirika) endapo watafanya mashambulizi kutoka angani.

Hata hivyo Uingereza illipata taarifa za kiintelijensia na kusubiri hadi walipomaliza ujenzi kisha ikatuma ndege kwenda kudondosha Bomu kubwa la bandia la mbao.

Ilichukuwa muda kiasi kwa wanajeshi wa Ujerumani kujikusanya tena upya kutafuta bomu ambalo halikulipuka na kugundua lilikuwa bandia.

Chanzo:
Soga maarufu za mtandaoni.
FB_IMG_1688278294463.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom