Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako



Hivi na wao....😆😆😆😆

Kuweka kikapu cha matunda mezani kwenye hafla kama ile ndo nini...!!!????


Screenshot_20230605-132910_WhatsApp.jpg


Nimewaza mtu aanze kula hilo tango hapo mezani....🤣🤣🤣🤣🤣

Karoti jee...!!!? Laifu izi neva fea....

Mbele ya mheshimiwa raisi ........🤪🤪🤪🤪
 
Kenya imekanusha ahadi za zabuni ya Julai iliyotolewa kwa Dubai Port (DP) World ambayo ingeruhusu kampuni hiyo yenye makao yake makuu katika UAE kutoa zabuni ya maendeleo, uendeshaji na usimamizi wa bandari nne za nchi hiyo.

DP World ilisema serikali ya Kenya iliahidi kutoa ombi la pendekezo la kibiashara la mikataba ya bandari kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9.

Kenya ilikuwa imekubali kutoa upendeleo kwa DP World, inayomilikiwa na serikali ya Dubai na mojawapo ya waendeshaji wakubwa wa bandari duniani, katika makubaliano yaliyotiwa wino kati ya Mataifa hayo mawili.

Hazina imekanusha kuwepo kwa mpango huo na kukanusha kuwahi kutaja mipango ya kutoa zabuni ifikapo Julai.
20230608_041337.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom