Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230530_013953_Instagram Lite.jpg
 
Mobutu alikuwa madarakani kwa miaka 32 (1965-1997). Alikufa uhamishoni, kwa saratani ya kibofu, mwaka huo huo alio ondolewa madarakani. Hili hapa kaburi lake (& wanawe 2) huko Rabat, Morocco. Ingawa alikuwa amejipa majina mengi makuu, kaburi lake lina alama za herufi za kwanza - MSS, hakuna picha, hakuna cheo hakuna madoido yoyote
20230530_124931.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mobutu alikuwa madarakani kwa miaka 32 (1965-1997). Alikufa uhamishoni, kwa saratani ya kibofu, mwaka huo huo alio ondolewa madarakani. Hili hapa kaburi lake (& wanawe 2) huko Rabat, Morocco. Ingawa alikuwa amejipa majina mengi makuu, kaburi lake lina alama za herufi za kwanza - MSS, hakuna picha, hakuna cheo hakuna madoido yoyoteView attachment 2640167

Sent using Jamii Forums mobile app
Wana mpango wa kuja kumzika nyumbani kwa heshima zote anazostahili.

Yote kwa yote ni fundisho kwetu wanadamu kwamba hapa duniani tunapita tu na yote ni ubatili!
 
Back
Top Bottom