Jambo Brother Mshana,naomba msaada wa Jf huu ni mwezi kama wa pili simu yangu kwenye jf haifungui picha yoyote,so mimi nasoma tu sms but picha hazifunguki km zamani,naomba msaada wa kuelelezwa
Fuata maelekezo ya Melo hapa chini. Inavyoonekana ile app ya zamani wameamua kuitelekeza japo hawataki kusema. Ingependeza tu hata waiondoe huko Playstore maana kama wameitelekeza itakuwa rahisi sana kudukuliwa...
Hivi kwanini vipindi vya weather huko nje wanapenda kutumia warembo sana?pamoja kwa kwamba kwenye television warembo ni kawaida ila kwenye weather forecast wanaweka warembo zaidi?
Hivi kwanini vipindi vya weather huko nje wanapenda kutumia warembo sana?pamoja kwa kwamba kwenye television warembo ni kawaida ila kwenye weather forecast wanaweka warembo zaidi?