Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230509_063540_Instagram Lite.jpg
 
Leo Mhe Bashe ametamalaki sana mitandaoni. Je, huyu ndiye mchezaji wa akiba atakayeingia uwanjani baada ya 'Celestine Sikinde Mbunga'? Je, ndiye kiungo mkabaji baada ya mpwa wa 'Mtemi wa Unyanyembe'? Neno moja kwake! Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
FB_IMG_1683642529538.jpg
 
Back
Top Bottom