





Nilidhani ni kwangu pekee. Kumbe hii shida iko kote!Uzi ulikuwa mtamu issue wiki 2 - 3 za hapa karibuni picha hazifunguki ,imekata vibe lote la kuja huku.
Wengi wamepata hii shida na option iliyopo ni kutumia browserNilidhani ni kwangu pekee. Kumbe hii shida iko kote!


. Mheshimiwa Wakili omba Mungu yakukute siku moja ndipo utakapojua tofauti kati ya theori na praktiko.