carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,616
Aziz Ki katika ubora wake
Siku hizi nimekuta mkubwaKumbe ulikuwa umepotea kisa mfungo. Uendelee na tabia hiyo hiyo
,Babu,Eid Mubarak

Eid Mubarak mjukuu.Babu,Eid Mubarak![]()

AmenEid Mubarak mjukuu.
Mungu Azidi kukubariki....
Kwako na wa kwako...
Amina![]()





Alafu mchoyo weye ata kusema mzabzab njoo ule pilau hakuna. Hufai kabisaSiku hizi nimekuta mkubwa,
Nipo Kwa babu huku
Mwee ungesema mapema ningekutumia hela ya abaya🤣🤣🤣🤣karibu mjomba Ake
![]()
Mie sio mchoyo kwenye msosiMwee ungesema mapema ningekutumia hela ya abaya![]()
,. Karibu banaSoul tiesAngalia Kwa Umakini ni nani unakutana naye kimwili??, Kila unayekutana naye kimwili kuna sehemu yake inabaki kwako, Ndiyo maana unaweza ukakuta watu wengine wabaya sana,wakatili,wengine ni kama mashetani kabisa , Hii ni kwasababu kuna roho wachafu wengi ndani yao.
View attachment 2595452