Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hao masister wana kazi ya kufanya, baada ya kulambishwa meza ya bwana
JamiiForums614058331.jpg


Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
HII NI HATARI SANA
JE UNAOTA MAMBO HAYA

1.Ndoto chafu ya mapenzi
2.Ndoto chafu ya kukumbizwa
3.Ndoto chafu ya kulishwa vyakula vya KICHAWI
4.Ndoto ya Kuwa darasani au mazingira ya SHULE
5.Ndoto ya kuumwa na nyoka au nyuki
6.Ndoto ya Kuwa makorongoni au kwenye misitu
7.Kuwa chooni au dampo

HIZO NI NDOTO HATARI SANA NI WACHAWI NA MAJINI NA MAPEPO KUTOKA KWA SHETANI WANAPANDIKIZA MAROHOO KWAKO

KATIKA JINA LA YESU KRISTO LILO JUU YA MAJINA YOTE NAKUOMBEA USIKU WA LEO USIOTE NDOTO CHAFU YA MASHETANI

LEO NATOA MAANA YA NDOTO 10

(1) KUOTA UNANUNUA VITU KWENYE NDOTO


maana yake fedha kwako zinatumika vibaya ukipata hua hazikai

(2) KUOTA UNAOKOTA FEDHA

Jua utaangukia uhitaji wa fedha, utakosa hata fedha ya kujikimu

(3)KUOTA UNAENDESHA GARI THEN UNAYUMBA NAYO

Jua kitu unachokifanya, inaweza ikawa kazi, kampuni, project au biashara au huduma unaiendesha vibaya

(4) KUOTA UKO UCHI

Adui yaani shetani amepanga kukuaibisha, kuna jambo lenye fedheha litakukuta

(5) KUOTA WATU WALIOKUFA

Jua ipo roho ya umauti inafatilia maishani mwako.

(6) KUOTA UNASHINDWA KUVUKA MTO

Kuna jaribu mbele yako litakushinda, utahitaji msaada

(7) Kuota unaumwa

Omba Mungu kuna ugonjwa kweli unakunyemelea

(8) KUOTA UNAPIMA UNAGUNDULIKA UMEATHIRIKA

Tambua hiyo sio HIV bali ni laana ya ukoo ambayo iko kwenye damu

(9) KUOTA UNAONA ALAMA YA HIV AU AIDS

Basi Mwombe Mungu Akuepushe na magonjwa yasiyotibika

(10), KUOTA UNAPAA UKIWAKIMBIA MAADUI

Huo ni ushindi dhidi ya maadui zako, Hivyo tambua maisha yako yana maadui

LEO NAENDELEA NA MAOMBI NA MAOMBEZI, NAKUTOA TAFSIRI ZA NDOTO MBALIMBALI. ANDIKA NDOTO YAKO HAPA CHINI AU NIFUATE INBOX

LEO NOMBEA WATU 10 NATABIRIA WATU 10 NA KUTAFSIRI NDOTO 10 INUA MKONO WAKO HAPA AU NJOO INBOX Whatsupp +255715360094 AU PIGA +255624686991
9be86c9a8d7e722bd1e7d92812d435e247-12-nightmare.rsquare.w700.jpg
A_giant_claw_pierces_the_breast_of_a_sleeping_naked_woman%2C_a_Wellcome_V0017052.jpg
 
NGOJA NIKUKUMBUSHE KIDOGO

1. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 40, waliosoma sana na waliosoma kidogo, wote wanakuwa sawa tu, ni wakati huu majigambo ya certificates, diploma, degree, masters, PhD, hupotea kabisa. Ni katika umri huu, inawezekana mwenye elimu ndogo, akatengeneza pesa nyingi sana kuliko mwenye elimu kubwa. Waliosoma sana na waliosoma kidogo, wote wanakuwa sawa tu.

2. Kama ulikuwa haujui, ikifika umri wa miaka 50, mtu aliyesemekana kwamba alikuwa mrembo, na mtu aliyesemekana kwamba alikuwa ana sura mbaya, wote wanaanza kuwa sawa tu. Ni wakati huu, mikunjo usoni, vipara kichwani, mvi n.k, haviwezi kukwepeka tena.

3. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 60, watu wanakuwa wamestaafu kazi, aliyekuwa na cheo kikubwa na aliyekuwa na cheo kidogo, wote wanakuwa sawa tu. Ni wakati huu, hawa watu wanakuwa washikaji, wanaanza kukaa kijiwe kimoja, wanapiga story zenye idea zinazofanana, mara nyingi utawakuta makanisani au misikitini pamoja.

4. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 70, mwenye nyumba ndogo na mwenye nyumba kubwa, wote wanakuwa sawa tu, wote wanahitaji nafasi ndogo sana ya kukaa, kwa kuwa ni katika kipindi hiki, kuhamisha-hamisha vitu, inakuwa taabu sana. Mwenye ghorofa atapenda kukaa nyumba ya chini, kwa kuwa miguu yake inaanza kukosa nguvu. Ni wakati huu, watoto huwaachia nyumba na kwenda kuanza maisha yao, hivyo, nyumba huwa kubwa kuliko mahitaji.

5. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 80, walio na pesa na wasio na pesa, wote wanakuwa sawa tu, hata mwenye pesa anapotaka kutumia pesa zake, anakuwa hajui wapi pa kwenda, wote tajiri na masikini, hubaki nyumbani tu.

6. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 90, kulala usingizi na kuamka, vyote vinakuwa sawa tu, kwa kuwa hata ukiamka, unakuwa huna cha kufanya,hapa masikini na tajiri, wote wanasubiri kifo tu.

Katika maisha, kama wewe ulidhani ni mtu muhimu kuliko watu wengine, kwa sababu ya elimu,uzuri,nafasi yako kazini, nyumba,au kipato chako kuwa kikubwa. Basi ulikuwa hujui tu,wewe ni wa kawaida sana, hakuna mtu mwenye nafasi kubwa kuliko mwingine, ni suala la muda tu.
.
FB_IMG_1681107660870.jpg
 
Serikali ya Eritrea imepitisha rasmi sheria mpya ya kuoa Wanawake watatu kwa lazima ili kukabiliana na wimbi la uhaba wa Wanaume nchini humo. Serikali ya Eritrea imeahidi kutoa ruzuku ya pesa kila mwezi kwa atakaeongeza mke wa tatu. Eritrea ina Wanaume wachache huku idadi ya Wanawake ikiwa ni kubwa mara tatu ya Wanaume.

#AfricaYetu....
FB_IMG_1681111451615.jpg
 
Serikali ya Eritrea imepitisha rasmi sheria mpya ya kuoa Wanawake watatu kwa lazima ili kukabiliana na wimbi la uhaba wa Wanaume nchini humo. Serikali ya Eritrea imeahidi kutoa ruzuku ya pesa kila mwezi kwa atakaeongeza mke wa tatu. Eritrea ina Wanaume wachache huku idadi ya Wanawake ikiwa ni kubwa mara tatu ya Wanaume.

#AfricaYetu....View attachment 2582931
Aisee..
 
Back
Top Bottom