Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383



Mideko vipi unaweza kunipa connection kwa huyu 😍😋
Duh aisee hiyo mimi pia uwa naona unatibiwa sehemu X unapata sms umetibiwa apo na gharama wanakuwekea ,then baada ya week kadhaa unapata sms ile ile kuwa ulitibiwa sehemu X na gharama ni zilezile za sms ya kwanzaKwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Mambo mengine serikali hua inajiibiaga yenyewe...Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
