Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Huyu Jamaa ni mnaigeria saiz yupo chuo historia yake nikwamba mwana anaishi na bibi yake om alipewa hela akanunue vitu kwajili ya matumizi ya nyumbani wakati akiwa njiani alikutana na rafiki yake akamshawishi wakacheze kamali hiyo hela ya kununulia vitu

Kwa bahati mbaya hela ikaliwa yote kwenye kamali sasa akawa anafikiria anaweza vp kurudi nyumbani bila vitu akaanza kulia ndio hiko kilio hapo unachokiona kwenye pic lakini kwa bahati nzr watu walimuonea huruma walimchangia hiyo hela akaweza nunua vitu na kurudi nyumbani jina lake simkumbuki vzr nikimkumbuka nitawataarifu lakini saiz yupo chuo anasoma hapo Nigeria.
Hivi huyu lini ataacha kulia?
hivi huyu jamaa amewakosea nini lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • tapatalk_1580677971431.jpeg
    tapatalk_1580677971431.jpeg
    25.6 KB · Views: 12
  • tapatalk_1580677964556.jpeg
    tapatalk_1580677964556.jpeg
    7.2 KB · Views: 12
  • tapatalk_1580677958470.jpeg
    tapatalk_1580677958470.jpeg
    10.7 KB · Views: 11
  • tapatalk_1580677763155.jpeg
    tapatalk_1580677763155.jpeg
    24.3 KB · Views: 12
Huyu Jamaa ni mnaigeria saiz yupo chuo historia yake nikwamba mwana anaishi na bibi yake om alipewa hela akanunue vitu kwajili ya matumizi ya nyumbani wakati akiwa njiani alikutana na rafiki yake akamshawishi wakacheze kamali hiyo hela ya kununulia vitu

Kwa bahati mbaya hela ikaliwa yote kwenye kamali sasa akawa anafikiria anaweza vp kurudi nyumbani bila vitu akaanza kulia ndio hiko kilio hapo unachokiona kwenye pic lakini kwa bahati nzr watu walimuonea huruma walimchangia hiyo hela akaweza nunua vitu na kurudi nyumbani jina lake simkumbuki vzr nikimkumbuka nitawataarifu lakini saiz yupo chuo anasoma hapo Nigeria.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaahaaa
 
Back
Top Bottom