Wanamchekea lakini ana potential ya kuleta maafa makubwa kuzidi hata ya Kibwetere.
Kumbuka anafuga watu nyumbani kwake na wanamtumikia kama mungu wao. Siku akiwaamrisha kunywa sumu au kujichoma moto ili waende mbinguni itakuwa sawa na yale maafa ya Jim Jones kule Guyana au Kibwetere wa Uganda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.