Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Karibuni breakfast ndugu zangu
View attachment 2551903
2f0951c2a68349f96376b1cb27ae544f.jpg
 
Aahahahaa Mzab, Not as such....

Enzi nakua on my mid 20s (1950s), wanaume walikuwa XXL... mind you mimi ni mnyamwezi 😋😋 hao ndo walinikuza na kunizeesha.

Sina uhakika maeneo mengine ya nchi walikuwaje...😊
Mhm kikongwe una 80+ na unajua kichapa marimba ya mzungu😲😲😲😲
Mnyamaezi wa wapi wewe? Igunga ipole au kaliua?

Dah kwa hiyo sie wa sasa vibamia yunazingua ukincompare na xxl za wanyawezi wa enzi hizo.
 
Back
Top Bottom