Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Karibuni breakfast ndugu zangu [emoji1545]
View attachment 2551903
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
2f0951c2a68349f96376b1cb27ae544f.jpg
 
Aahahahaa Mzab, Not as such....

Enzi nakua on my mid 20s (1950s), wanaume walikuwa XXL... mind you mimi ni mnyamwezi 😋😋 hao ndo walinikuza na kunizeesha.

Sina uhakika maeneo mengine ya nchi walikuwaje...😊
Mhm kikongwe una 80+ na unajua kichapa marimba ya mzungu😲😲😲😲
Mnyamaezi wa wapi wewe? Igunga ipole au kaliua?

Dah kwa hiyo sie wa sasa vibamia yunazingua ukincompare na xxl za wanyawezi wa enzi hizo.
 
Back
Top Bottom