

Mhm kikongwe una 80+ na unajua kichapa marimba ya mzungu😲😲😲😲Aahahahaa Mzab, Not as such....
Enzi nakua on my mid 20s (1950s), wanaume walikuwa XXL... mind you mimi ni mnyamwezi 😋😋 hao ndo walinikuza na kunizeesha.
Sina uhakika maeneo mengine ya nchi walikuwaje...😊
Till you go crazyThis is how true love looks like...block, unblock, block, unblock, block, unb....
View attachment 2551937

