Kitomari xxiv
JF-Expert Member
- Sep 26, 2021
- 1,285
- 12,572
Nimeoga sana na hakuna nilichokipata...
Usikute kuoga ni dhambi, maana hata vitabu vya dini vinahimiza usafi lakini havitaji kuoga...![]()

hatimaye leo nimeona komenti yako ndefu
Inapendeza sana...hatimaye leo nimeona komenti yako ndefu
Anhaa okok nimeelewa maana......na kirefu cha SDY kinaweza kuwa nini?